ILI MWANAMKE AZALISHE
MAZIWA MENGI
Kwa muda mrefu sana wanawake wanaonyonyesha wamekua
wakiambiwa mambo kadhaa ili kuweza kuzalisha maziwa ya kutosha kwa ajili ya
watoto wao.
Mfano wa vitu wanavyoambiwa ni;
ยท
Kula
mara kwa mara upate maziwa
ยท
Kunywa
maziwa ili upate maziwa
ยท
Kunywa
soda ya coca ili uzalishe maziwa
ยท
Kula
matunda mengi
ยท
Kunywa
juisi ya Ribena
ยท
Na
mengine mengi.
Maziwa ya mama huzalishwa katika FAT LOBULES. Na ndio sababu kwa nini matiti ya mama hua makubwa
pale anapokua mjamzito.
Hakuna bomba kwenye titi la mwanamke ambalo litazalisha
maziwa eti kwa sababu amekula chakula flani. Chakula anachokula mama ni lazima
kipitie mmeng`enyo na kuweza kufyonzwa katika mwili.
Maziwa ya mama huhifadhiwa katika Fat Lobules kabla ya
kusisimuliwa ili yatoke katika chuchu.
Vyakula pekee amavyo mama anahitaji ni;
ยท
Nyama
ยท
Mayai
(ya kienyeji)
ยท
Samaki
ยท
Shahamu
muhimu (essential fats) kama vile mafuta ya wanyama, nazi na parachichi.
Mama anatakiwa kuzingatia kumnyonyesha mtoto mara kwa mara
ili kuweza kusisimua uzalishwaji wa maziwa.
Ni lazima mama afwate kanuni ya PQRSTU kwa ajili ya kuzalisha
maziwa ya kutosha kwa mtoto.
ยท
POSITION: mkao wa mtoto wakati ananyonya
ยท
QUALITY: ubora wa chakula ambacho amma
anakula, ni lazima kiwe chenye thamani kubwa ya lishe.
ยท
REGULARITY: mama anamnyonyesha mtoto mara ngapi
kwa siku?
ยท
SLEEP: mama anatakiwa ajitahidi kupata
usingizi na kupumzika pale anapopata nafasi.
ยท
UNINTERRUPTED BREAST FEEDING TIME: mama anatakiwa kumnyonyesha mtoto
bila kukatishakatisha.
Bila kuzingatia kanuni hizi, mama hawezi kupata maziwa ya
kutosha kwa ajili ya mtoto.
Kama ni mama unanyonyesha, wasiliniana nami uweze kupata
mwongozo wa mama anayenyonyesha. Bonyeza HAPA kisha unitumie ujumbe mfupi.
Reference; www.amerix.co.ke
Comments
Post a Comment