Skip to main content

MBINU 3 ZA MAMA ANAYENYONYESHA KUPATA MAZIWA MENGI

 

ILI MWANAMKE AZALISHE MAZIWA MENGI

Kwa muda mrefu sana wanawake wanaonyonyesha wamekua wakiambiwa mambo kadhaa ili kuweza kuzalisha maziwa ya kutosha kwa ajili ya watoto wao.

Mfano wa vitu wanavyoambiwa ni;

·       Kula mara kwa mara upate maziwa

·       Kunywa maziwa ili upate maziwa

·       Kunywa soda ya coca ili uzalishe maziwa

·       Kula matunda mengi

·       Kunywa juisi ya Ribena

·       Na mengine mengi.

Maziwa ya mama huzalishwa katika FAT LOBULES. Na ndio sababu kwa nini matiti ya mama hua makubwa pale anapokua mjamzito.

Hakuna bomba kwenye titi la mwanamke ambalo litazalisha maziwa eti kwa sababu amekula chakula flani. Chakula anachokula mama ni lazima kipitie mmeng`enyo na kuweza kufyonzwa katika mwili.

Maziwa ya mama huhifadhiwa katika Fat Lobules kabla ya kusisimuliwa ili yatoke katika chuchu.

Vyakula pekee amavyo mama anahitaji ni;

·       Nyama

·       Mayai (ya kienyeji)

·       Samaki

·       Shahamu muhimu (essential fats) kama vile mafuta ya wanyama, nazi na parachichi.

Mama anatakiwa kuzingatia kumnyonyesha mtoto mara kwa mara ili kuweza kusisimua uzalishwaji wa maziwa.

Ni lazima mama afwate kanuni ya PQRSTU kwa ajili ya kuzalisha maziwa ya  kutosha kwa mtoto.

·       POSITION: mkao wa mtoto wakati ananyonya

·       QUALITY: ubora wa chakula ambacho amma anakula, ni lazima kiwe chenye thamani kubwa ya lishe.

·       REGULARITY: mama anamnyonyesha mtoto mara ngapi kwa siku?

·       SLEEP: mama anatakiwa ajitahidi kupata usingizi na kupumzika pale anapopata nafasi.

·       UNINTERRUPTED BREAST FEEDING TIME: mama anatakiwa kumnyonyesha mtoto bila kukatishakatisha.

Bila kuzingatia kanuni hizi, mama hawezi kupata maziwa ya kutosha kwa ajili ya mtoto.

Kama ni mama unanyonyesha, wasiliniana nami uweze kupata mwongozo wa mama anayenyonyesha. Bonyeza HAPA kisha unitumie ujumbe mfupi.

Reference; www.amerix.co.ke

 


Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77

Hormonal Imbalance, Visababishi na Tiba yake

  Hormonal Imbalance HORMONAL IMBALANCE    Hormonal imbalance ama kwa Kiswahili ni mvurugiko wa kichochezi (hormone). Mara nyingi huwakumba wanawake Zaidi, ingawa hata wanaume wanaweza kua na tatizo hili. na kusababisha kiwango kidogo sana au kikubwa sana cha hormone au kichochezi chochote kutokukaa sawa.  NINI HUSABABISHA HORMONAL IMBALANCE  1️⃣Ulaji Mbovu wa chakula 2️⃣Unene (uzito uliopitiliza) 3️⃣Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango.  4️⃣Stress na msongo wa mawazo 5️⃣kisukari 6️⃣Hyperglycemia (uzalishwaji wa kuzidi wa glucagon) 7️⃣Hypoglycemia (insulin kuzalishwa nyingi kuliko glucose kwenye damu) 8️⃣Saratani pamoja na vimbe kwenye via vya kizazi.  DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE  1️⃣Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa 2️⃣Kutokushika mimba (infertility) 3️⃣Kutokua na uwezo wa kusimamisha uume 4️⃣Mbegu za uzazi kuwa chache (low sperm count) 5️⃣Uke kua mkavu (vaginal dryness) 6️⃣Kubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi au maumivu makali 7️⃣Kutokupata usingizi vizuri 8️⃣Kuongezeka uzito

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1️⃣Historia ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2️⃣Kupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3️⃣Unene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4️⃣Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu au kutokufanya mazoezi. (sed