Skip to main content

HALI YA KUKOSA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU.

 HALI YA KUKOSA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU.

Kukosa choo ni hali ya kushindwa kupata choo baada ya saa 72 tangu upate choo mara ya mwisho.

Kama muda haujafika saa 72 haitaitwa hali ya kukosa choo. Ni lazima saa 72 zitimie.

Zipo sababu kadhaa zinazoweza kusababisha mtu kuchelewa kupata choo kama vile;-

        I.            Unapokua umefunga kula

      II.            Unapobadilisha mazingira uliyoyazoea kujisaidia.

    III.            Unapovadilisha muda ambao umezoea kujisaidia.

Endapo utazidisha Zaidi ya saa 72 bila kupata choo basi fanya yafuatayo;-

        I.            Usizidishe kiwango cha nyuzi nyuzi, kwani ni sawa na kuongeza idadi ya magari katika barabara ambayo tayari ina foleni kubwa.

      II.            Kunywa SALINE WATER (maji yenye chumvi) mara 2 kwa siku. Hii itasaidia kusisimua shughuli za utumbo wako. Utumbo umetengenezwa kwa misuli laini ambayo hua inatanuka na kusinyaa kupitia chaneli ya sodium-potassium pump.

    III.            Tumia maziwa ya mtindi au sauerkraut. Kwa sababu mzunguko wa utumbo husimama pale ambapo bacteria wa tumboni huzidiwa na mabaki ya chakula ambacho mtu amekula. Mtindi na sauerkraut husaidia kuleta uwiano mzuri wa bacteria katika tumbo.

    IV.            Usitumie antibiotics (kutokana na sababu tajwa (iii) hapo juu)

      V.            Usitumie antacids. Hizi husababisha bacteria wako wa tumboni wazubae. Ni mchakato ujulikanao kama SIBO. (Small Intestinal Bacteria Overgrowth)

    VI.            Usitumie dawa za vidonda vya tumbo (ANT-ACIDS): hizi ndio sababu kubwa kwa nini bacteria wako wa tumboni hawafanyi kazi kwa ufasaha. Ni kwa sababu ya hali ijulikanayo kama SIBO (Small Intestinal Bacteria Overgrowth).

  VII.            Tumia shahamu (short chain fatty acids) kutoka kwenye mafuta ya wanyama au kutoka kwenye siki ya tufa (apple cider vinegar). Utatumia vijiko 5 katika glass ya maji ya vuguvugu

VIII.            Chuchumaa unapokua unajisaidia, hii itasisimua utumbo wako uweze kusukuma. (Initiate bowel movements). Epuka kabisa kutumia vyoo vya kukaa unapojisaidia.

BONUS: usikimbilie kwa haraka kununua madawa unapopata shida, 80% ya muda hua huzihitaji.

Reference; www.amerix.co.ke


Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77 ...

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   ๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1๏ธโƒฃHistoria ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2๏ธโƒฃKupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3๏ธโƒฃUnene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4๏ธโƒฃKu...

CALORIE ZA VYAKULA VYA TANZANIA

 CALORIES ZA VYAKULA TANZANIA   NINI MAANA YA CALORIE?    Calorie ni kiasi cha nishati kinachohitajika ili kuongeza joto la gramu moja ya maji (ยฐC). Kwa lugha nyepesi, calorie katika chakula hutoa nishati (energy) kwa njia ya joto ili miili yetu iweze kufanya kazi. Hii ni kwa sababu miili yetu huhifadhi na kuchoma calorie kama mafuta.  UHUSIANO WA CALORIE NA UZITO WA MWILI.  Kwa kawaida, kila chakula kina kiwango chake cha calorie. Hivyo unapokula chakula, unaingiza mwilini calorie kadhaa, na mwili wako pia unatumia calorie katika kuweka uhai. Lakini unapokula chakula, unaingiza calorie mwilini. Na mwili wako pia unatumia calorie kama nishati. Hivyo unapokula calorie nyingi kuliko mwili unavyoweza kutumia, zinahifadhiwa kama mafuta na utaongezeka uzito. Unapotumia calorie nyingi kuliko unavyoingiza mwilini, unapungua uzito. Na ukitumia kiasi sawa na unachoingiza, basi unabaki na uzito ule ule.   MWANADAMU ANAHITAJI WASTANI WA CALORIE NGAPI? ...