Skip to main content

TATIZO LA KUTAPIKA/KICHEFUCHEFU UNAPOSAFIRI

 

TATIZO LA KUTAPIKA AU KUHISI KICHEFUCHEFU UNAPOSAFIRI.

Watu wengi sana wana hili tatizo.

Tatizo hili hujulikana kama MOTION SICKNESS. Na lina sababu kuu 2

        I.            ADRENAL GLAND FATIGUE

      II.            GALL BLADDER/BILE DYSFUNCTION.

1. ADRENAL GLAND FATIGUE

Adrenal glands hupatikana juu ya figo zako na huachilia homoni muhimu ijulikanayo kama CORTISOL.

Cortisol husaidia tishu zako za mwili kuweza kukabiliana na hali za stress n.k ambazo ni; -

ยท         Inflammation

ยท         Motion (unapokua katika mwendo)

ยท         Height awareness (unapokua katika urefu mkubwa sana)

ยท         Kukagua kinga ya mwili ili isiweze kukushambulia (autoimmunity)

Kama una cortisol ya kiwango cha chini sana, hupelekea shida ya chronic inflammation, kizunguzungu pamoja na kichefuchefu.

Matokeo yake ni; -

        I.            Kupata pumu au uzio (allergy)

      II.            Kupoteza kumbukumbu

    III.            Magonjwa ya Autoimmunity mfano lupus, magonjwa ya thyroid n.k

    IV.            Kutokupata usingizi

      V.            Kitambi au nyama zembe.

UTAWEZAJE KUJUA KAMA UNASHIDA YA ADRENAL FATIGUE?

        I.            Lala chini kwa dakika 3

      II.            Pima presha yako

    III.            Amka usimame

    IV.            Pima tena presha yako

Endapo systolic (presha ya juu) haitaongezeka kwa unit 6 hadi 10 au ukahisi kizunguzungu baada ya kuamka, basi adrenals zako ni dhaifu kwa sababu hazijaweza kukusapoti kukabiliana na Gravitational Stress.

Ndicho ambacho hutokea unaposafiri kutokana na MOTION SICKNESS. Adrenals zako zinashindwa kusapoti mfumo wa Autonomous na kuleta kichefuchefu na kutapika.

Mara nyingi katika sehemu za kutolea huduma za afya watakupa dawa ya prednisolone (cortisol) au dawa aina za Anti-histamines kama una dalili za Motion Sickness.

NINI CHA KUFANYA KUONDOKANA NA TATIZO HILI?

        I.            Funga kula mara kwa mara.

      II.            Zingatia mlo safi

    III.            Protini za kutosha pamoja na mafuta ya wanyama.

    IV.            Pata usingizi wa kutosha. (saa 8 kwa siku)

Kama unakichefuchefu, unaweza kunywa vifuatavyo; -

        I.            Tangawizi

      II.            Chamomile

    III.            Cayenne pepper

    IV.            Peppermint

Na FIT BY WAYNE.

Reference: www.amerix.co.ke 


Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77 ...

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   ๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1๏ธโƒฃHistoria ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2๏ธโƒฃKupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3๏ธโƒฃUnene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4๏ธโƒฃKu...

CALORIE ZA VYAKULA VYA TANZANIA

 CALORIES ZA VYAKULA TANZANIA   NINI MAANA YA CALORIE?    Calorie ni kiasi cha nishati kinachohitajika ili kuongeza joto la gramu moja ya maji (ยฐC). Kwa lugha nyepesi, calorie katika chakula hutoa nishati (energy) kwa njia ya joto ili miili yetu iweze kufanya kazi. Hii ni kwa sababu miili yetu huhifadhi na kuchoma calorie kama mafuta.  UHUSIANO WA CALORIE NA UZITO WA MWILI.  Kwa kawaida, kila chakula kina kiwango chake cha calorie. Hivyo unapokula chakula, unaingiza mwilini calorie kadhaa, na mwili wako pia unatumia calorie katika kuweka uhai. Lakini unapokula chakula, unaingiza calorie mwilini. Na mwili wako pia unatumia calorie kama nishati. Hivyo unapokula calorie nyingi kuliko mwili unavyoweza kutumia, zinahifadhiwa kama mafuta na utaongezeka uzito. Unapotumia calorie nyingi kuliko unavyoingiza mwilini, unapungua uzito. Na ukitumia kiasi sawa na unachoingiza, basi unabaki na uzito ule ule.   MWANADAMU ANAHITAJI WASTANI WA CALORIE NGAPI? ...