Skip to main content

TATIZO LA KUTAPIKA/KICHEFUCHEFU UNAPOSAFIRI

 

TATIZO LA KUTAPIKA AU KUHISI KICHEFUCHEFU UNAPOSAFIRI.

Watu wengi sana wana hili tatizo.

Tatizo hili hujulikana kama MOTION SICKNESS. Na lina sababu kuu 2

        I.            ADRENAL GLAND FATIGUE

      II.            GALL BLADDER/BILE DYSFUNCTION.

1. ADRENAL GLAND FATIGUE

Adrenal glands hupatikana juu ya figo zako na huachilia homoni muhimu ijulikanayo kama CORTISOL.

Cortisol husaidia tishu zako za mwili kuweza kukabiliana na hali za stress n.k ambazo ni; -

·         Inflammation

·         Motion (unapokua katika mwendo)

·         Height awareness (unapokua katika urefu mkubwa sana)

·         Kukagua kinga ya mwili ili isiweze kukushambulia (autoimmunity)

Kama una cortisol ya kiwango cha chini sana, hupelekea shida ya chronic inflammation, kizunguzungu pamoja na kichefuchefu.

Matokeo yake ni; -

        I.            Kupata pumu au uzio (allergy)

      II.            Kupoteza kumbukumbu

    III.            Magonjwa ya Autoimmunity mfano lupus, magonjwa ya thyroid n.k

    IV.            Kutokupata usingizi

      V.            Kitambi au nyama zembe.

UTAWEZAJE KUJUA KAMA UNASHIDA YA ADRENAL FATIGUE?

        I.            Lala chini kwa dakika 3

      II.            Pima presha yako

    III.            Amka usimame

    IV.            Pima tena presha yako

Endapo systolic (presha ya juu) haitaongezeka kwa unit 6 hadi 10 au ukahisi kizunguzungu baada ya kuamka, basi adrenals zako ni dhaifu kwa sababu hazijaweza kukusapoti kukabiliana na Gravitational Stress.

Ndicho ambacho hutokea unaposafiri kutokana na MOTION SICKNESS. Adrenals zako zinashindwa kusapoti mfumo wa Autonomous na kuleta kichefuchefu na kutapika.

Mara nyingi katika sehemu za kutolea huduma za afya watakupa dawa ya prednisolone (cortisol) au dawa aina za Anti-histamines kama una dalili za Motion Sickness.

NINI CHA KUFANYA KUONDOKANA NA TATIZO HILI?

        I.            Funga kula mara kwa mara.

      II.            Zingatia mlo safi

    III.            Protini za kutosha pamoja na mafuta ya wanyama.

    IV.            Pata usingizi wa kutosha. (saa 8 kwa siku)

Kama unakichefuchefu, unaweza kunywa vifuatavyo; -

        I.            Tangawizi

      II.            Chamomile

    III.            Cayenne pepper

    IV.            Peppermint

Na FIT BY WAYNE.

Reference: www.amerix.co.ke 


Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77

Hormonal Imbalance, Visababishi na Tiba yake

  Hormonal Imbalance HORMONAL IMBALANCE    Hormonal imbalance ama kwa Kiswahili ni mvurugiko wa kichochezi (hormone). Mara nyingi huwakumba wanawake Zaidi, ingawa hata wanaume wanaweza kua na tatizo hili. na kusababisha kiwango kidogo sana au kikubwa sana cha hormone au kichochezi chochote kutokukaa sawa.  NINI HUSABABISHA HORMONAL IMBALANCE  1️⃣Ulaji Mbovu wa chakula 2️⃣Unene (uzito uliopitiliza) 3️⃣Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango.  4️⃣Stress na msongo wa mawazo 5️⃣kisukari 6️⃣Hyperglycemia (uzalishwaji wa kuzidi wa glucagon) 7️⃣Hypoglycemia (insulin kuzalishwa nyingi kuliko glucose kwenye damu) 8️⃣Saratani pamoja na vimbe kwenye via vya kizazi.  DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE  1️⃣Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa 2️⃣Kutokushika mimba (infertility) 3️⃣Kutokua na uwezo wa kusimamisha uume 4️⃣Mbegu za uzazi kuwa chache (low sperm count) 5️⃣Uke kua mkavu (vaginal dryness) 6️⃣Kubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi au maumivu makali 7️⃣Kutokupata usingizi vizuri 8️⃣Kuongezeka uzito

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1️⃣Historia ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2️⃣Kupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3️⃣Unene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4️⃣Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu au kutokufanya mazoezi. (sed