Skip to main content

P TATU ZA KUA NA AFYA NZURI

 

P TATU ZA KUZINGATIA ILI UWE NA AFYA NZURI.

Tupo katiika dunia ambayo watu wengi hupenda sana njia za mkato katika kila kitu. Na katika afya, wengi hukimbilia vidonge na dawa badala ya kubadilisha mtindo wa maisha yao ili waweze kuishi pasipo kutumia dawa ambazo mwisho wa siku zina madhara katika mwili. 


Moja ya adui wakubwa ni UNENE, ni kwa sababu unene unakuanika katika kupata athari nyingi za ki afya mfano saratani, kisukari pamoja na magonjwa mengine mengi. Ila wengi hawataki kufanya hivyo wakidhani kuna vidonge vya kila tatizo wanalopata. 


Dawa haziwezi kamwe kukuponya ugonjwa sugu, zitaondoa tu dalili kwa wakati huo na kukufanya uitegemee dawa hiyo katika maisha yako yote bila kupona kabisa. Utakua tu ukipata nafuu ili na kesho utumie tena na tena. 

Chukulia mfano wa watu wenye vidonda vya tumbo, presha na kisukari. Kila siku watameza vidonge vitakavyowapa nafuu kwa muda mfupi, ila baadae wanarudi palepale. Maana yake ni kwamba kila siku itawabidi kutumia dawa hizo. Au wengine dawa zao ni lazima wameze kila mwezi. Sasa ni kwa nini usibadilishe mtindo wako wa maisha ili upone moja kwa moja? Hii ni aina nyingine ya utumwa.

Suluhisho la kuondokana na magonjwa yasioambukiza (chronic inflammatory diseases) ni kubadilisha mtindo mbaya wa maisha na kua mzuri na ulaji sahihi.

Hapa ni lazima tutumie P tatu za kua na afya Nzuri.

1.      Proper diet (mlo sahihi)

2.      Physical activity (kushuhulisha mwili ni lazima)

3.      Purposeful rest (lazima uwe na muda wa kupumzika)

1. PROPER DIET. Maana yake inajibu swali la WHAT TO EAT?

Kabla ya kula au kunywa chochote, ni lazima ujiulize maswali haya muhimu,

ยท         KINA FAIDA GANI? Ni lazima ujiulize kama hicho chakula au kinywaji kina virutubisho vinavyofaa kujenga mwili wako au ni sum utu ambazo zinaharibu mwili wako.

ยท         NILE SAA NGAPI? Ni lazima ujue na kutambua muda sahihi wa kula. Kwa sababu unapokula muda sahihi huharibu mfumo wa mwili ujulikanao kama circadian rhythm. 


ยท         KWA NINI NAKULA? Ni lazima ujiulize kama ni kweli unanjaa au unakula tu kwa sababu ya ulafi.

Utakapoijali na kuitunza afya yako leo, na yenyewe itakuja kukutunza na kukujali katika siku za usoni.

 Reference: www.amerix.ke 


Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77 ...

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   ๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1๏ธโƒฃHistoria ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2๏ธโƒฃKupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3๏ธโƒฃUnene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4๏ธโƒฃKu...

CALORIE ZA VYAKULA VYA TANZANIA

 CALORIES ZA VYAKULA TANZANIA   NINI MAANA YA CALORIE?    Calorie ni kiasi cha nishati kinachohitajika ili kuongeza joto la gramu moja ya maji (ยฐC). Kwa lugha nyepesi, calorie katika chakula hutoa nishati (energy) kwa njia ya joto ili miili yetu iweze kufanya kazi. Hii ni kwa sababu miili yetu huhifadhi na kuchoma calorie kama mafuta.  UHUSIANO WA CALORIE NA UZITO WA MWILI.  Kwa kawaida, kila chakula kina kiwango chake cha calorie. Hivyo unapokula chakula, unaingiza mwilini calorie kadhaa, na mwili wako pia unatumia calorie katika kuweka uhai. Lakini unapokula chakula, unaingiza calorie mwilini. Na mwili wako pia unatumia calorie kama nishati. Hivyo unapokula calorie nyingi kuliko mwili unavyoweza kutumia, zinahifadhiwa kama mafuta na utaongezeka uzito. Unapotumia calorie nyingi kuliko unavyoingiza mwilini, unapungua uzito. Na ukitumia kiasi sawa na unachoingiza, basi unabaki na uzito ule ule.   MWANADAMU ANAHITAJI WASTANI WA CALORIE NGAPI? ...