Skip to main content

UKWELI KUHUSU NJIA ZA UZAZI WA MPANGO

 

Njia za uzazi wa mpango

Ukweli Kuhusiana Na Njia za Uzazi wa Mpango.

Kuna aina 2 kuu za njia za uzazi wa mpango.

  1. 1.      Combined Oral Contraceptives (progesterone and oestrogen)
  2. 2.      Progesterone only contraceptives (POC)

Hua zinakuja katika hali tatu tofauti.

  1. 1.      Vidonge vya kumeza. (ikijumuisha na P2)
  2. 2.      Sindano ambazo mtu huchomwa kila baada ya miezi 3
  3. 3.      Long acting mfano Norplant or jadelle (vitanzi)

Njia hizi huzuia mbegu zisirutubishe yai katika mirija ya uzazi wakati wa ovulation. Hivyo hufanya kazi ya kuzuia ovulation kwa mwanamke.

Mwanamke anapomeza dawa hizi, hutuma taarifa hasi (negative feedback) kwenye hypothalamus (sehemu ya ubongo) ambapo hupunguza uzalishwaji wa follicle stimulating hormone (FSH) pamoja na Lutenizing Hormone (LH), ambapo hufanya au kuzuia ukuaji wa follicle.

Follicle ni kimfuko ambacho hua na yai ambalo halijakomaa. Isipotumika, basi yai hilo hupoteza uhai na mwanamke atakosa ovulation yake na kutokua na fertilization (kurutubishwa kwa yai).

Je, tatizo liko wapi?

1.      OVULATION ni sifa moja wapo kati ya sifa kuu za mwanamke yeyote yule. Ni wakati ambapo mwanamke hua mwanamke kweli. Kwa lugha nyingine tunasema, ni wakati ambao miungu yake ya uzazi hua hai. Na ndio maana hua na hamu ya kukutana na mwanaume kuliko wakati mwingine wowote.

Progesterone ni homoni ambayo humtuliza mwanamke. Kwa sababu ya kuchochea uzalishwaji wa serotonin na melatonin (homoni za usingizi)

Progesterone husaidia ufanyaji kazi wa homoni nyingine ambazo husaidia kuondoa inflammation kwenye mwili kutoka kwenye adrenal glands.

Progesterone husaidia mwili wa mwanamke kufyonza virutubisho  muhimu kama vile zinc, magnesium, iodine pamoja na calcium na kuweka sawa uwiano wa bacteria katika tumbo.

Sasa mwanamke anapomeza dawa hizi, huzuia uzalishwaji wa homoni ya progesterone. Kwa kawaida progesterone hutengenezwa na cholesterol. Ndio maana wanawake wanaomeza dawa za STATINS (zinazopunguza cholesterol) au wanaokula lishe yenye upungufu wa shahamu (fats) hua wana kiwango kidogo cha progesterone.

NI NINI HUTOKEA PALE AMBAPO MWANAMKE ANAKOSA PROGESTERONE?

  •         I.            Hupata inflammation mara kwa mara. Kama vile kuumwa kwa matiti, kuumwa tumbo wakati wa hedhi pamoja na kupata maginjwa mbali mbali.
  •       II.            Hubadilika mood mara kwa mara na kua na kisirani, hasira kali au kukosa usingizi kutokana na mvurugiko wa serotonin na melatonin
  •     III.            Kushindwa kubeba ujauzito, anaweza kuchelewa sana au kupata tatizo la mimba kuharibika mara kwa mara kwa sababu hamna progesterone ya kutosha kushikilia mimba vizuri.
  •     IV.            Matatizo ya tumbo ya mara kwa mara kama vile kujaa gesi, kuvimbiwa, kukosa choo na vidonda vya tumbo.
  •       V.            Kuongezeka uzito kutokana na uharibifu wa satiety hormone inayoitwa Ghrelin.
  •     VI.            Maji kutokutoka ndani ya mwili.
  •   VII.            Mifupa dhaifu
  • VIII.            Kupoteza hamu ya tendo la ndoa

Na mengine mengi.

Kupata hedhi ni kinyume cha ovulation katika mzunguko wa mwanamke. Ndio maana mwanamke anaweza akawa na hasira, kisirani au kua na mood swings kwa sababu ya homoni ya oestrogen.

Mwanamke yoyote hapasiw kutumia njia za uzazi wa mpango ambazo ni hormonal.

Na SAMUEL MACHA

Mwanzilishi wa FIT BY WAYNE.

Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77

Hormonal Imbalance, Visababishi na Tiba yake

  Hormonal Imbalance HORMONAL IMBALANCE    Hormonal imbalance ama kwa Kiswahili ni mvurugiko wa kichochezi (hormone). Mara nyingi huwakumba wanawake Zaidi, ingawa hata wanaume wanaweza kua na tatizo hili. na kusababisha kiwango kidogo sana au kikubwa sana cha hormone au kichochezi chochote kutokukaa sawa.  NINI HUSABABISHA HORMONAL IMBALANCE  1️⃣Ulaji Mbovu wa chakula 2️⃣Unene (uzito uliopitiliza) 3️⃣Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango.  4️⃣Stress na msongo wa mawazo 5️⃣kisukari 6️⃣Hyperglycemia (uzalishwaji wa kuzidi wa glucagon) 7️⃣Hypoglycemia (insulin kuzalishwa nyingi kuliko glucose kwenye damu) 8️⃣Saratani pamoja na vimbe kwenye via vya kizazi.  DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE  1️⃣Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa 2️⃣Kutokushika mimba (infertility) 3️⃣Kutokua na uwezo wa kusimamisha uume 4️⃣Mbegu za uzazi kuwa chache (low sperm count) 5️⃣Uke kua mkavu (vaginal dryness) 6️⃣Kubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi au maumivu makali 7️⃣Kutokupata usingizi vizuri 8️⃣Kuongezeka uzito

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1️⃣Historia ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2️⃣Kupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3️⃣Unene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4️⃣Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu au kutokufanya mazoezi. (sed