Skip to main content

Nini Cha Kufanya Endapo Unaugua (Au mtoto kuugua) Mafundofundo Mara Kwa Mara

Mafundofundo

Tonsillitis, Tonsils, Mafundofundo, Matezi.

Tonsillitis ni inflammation ya Tonsils pale ambapo mwili hushambuliwa na bacteria au virusi.

Tonsilitis ni tishu 2 zenye umbo la mviringo zinazopatikana nyuma ya koromeo pande mbili za ulimi.

Tonsils ni mstari wa mbele katika kinga ya mwili. Hizi huzuia vimelea hatarishi kabla havijafika katika mfumo wa mwili.

Tonsils zinapokamata vimelea, na zenyewe hupata inflammation na kupelekea hali ijulikanayo kama Tonsillitis ambapo huvimba na kua na mamumivu pale unapokua unameza kitu.

Mara nyingi watu haswa watoto hupata Tonsillitis na kwenda hospitali kutibiwa kwa antibiotics. Ila kuna ambazo zinajirudia mara kwa mara hata kama zikitibiwa kwa dawa.

Mara nying8 katika hali ya kujirudia mara kwa mara, wengi hushauriwa kufanya upasuaji mdogo ujulikanao kama Tonsilectomy ili kuziondoa.

Ikiwa Tonsils ndio mstari wa mbele wa kinga, ni kwa nini ziondolewe?

Nini Kifanyike Endapo Tonsillitis Inajirudia Mara kwa Mara.

  • Epuka kabisa sukari na vitu vya sukari katika lishe yako na lishe ya mtoto.
  • Epuka wanga na nafaka zilizokobolewa katika lishe yako na ya mtoto.
  • Epuka kupikia mafuta ya mbegu (vegetable oils), badala yake tumia mafuta ya nazi au ya wanyama kama vile siagi, samli, tallow (mafuta ya ng`ombe), mafuta ya zeituni, mafuta ya parachichi, mafuta ya zeituni, Lard (mafuta ya nguruwe), Suti (mafuta ya kondoo), na mafuta mengineyo ya wanyama.
  • Tembea au mtembeze mtoto juani mara kwa mara. haswa jua la asubuhi
  • Tumia vyakula vyenye wingi wa madini ya Zinc kama vile nyama, kuku, mbegu kama korosho, karanga, mlozi n.k, maharage, vyakula vya baharini kama vile chaza, pweza, ngisi n.k
vyakula vyenye Zinc


Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77 ...

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   ๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1๏ธโƒฃHistoria ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2๏ธโƒฃKupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3๏ธโƒฃUnene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4๏ธโƒฃKu...

CALORIE ZA VYAKULA VYA TANZANIA

 CALORIES ZA VYAKULA TANZANIA   NINI MAANA YA CALORIE?    Calorie ni kiasi cha nishati kinachohitajika ili kuongeza joto la gramu moja ya maji (ยฐC). Kwa lugha nyepesi, calorie katika chakula hutoa nishati (energy) kwa njia ya joto ili miili yetu iweze kufanya kazi. Hii ni kwa sababu miili yetu huhifadhi na kuchoma calorie kama mafuta.  UHUSIANO WA CALORIE NA UZITO WA MWILI.  Kwa kawaida, kila chakula kina kiwango chake cha calorie. Hivyo unapokula chakula, unaingiza mwilini calorie kadhaa, na mwili wako pia unatumia calorie katika kuweka uhai. Lakini unapokula chakula, unaingiza calorie mwilini. Na mwili wako pia unatumia calorie kama nishati. Hivyo unapokula calorie nyingi kuliko mwili unavyoweza kutumia, zinahifadhiwa kama mafuta na utaongezeka uzito. Unapotumia calorie nyingi kuliko unavyoingiza mwilini, unapungua uzito. Na ukitumia kiasi sawa na unachoingiza, basi unabaki na uzito ule ule.   MWANADAMU ANAHITAJI WASTANI WA CALORIE NGAPI? ...