Skip to main content

Kati ya Nyama Inayofuatwa na Nzi, Au Isiyofuatwa na Nzi, Ununue Ipi?

 

Nyama Inayofuatwa na Nzi Au Isiyofuatwa na Nzi. Ununue Ipi?

karibia kila mtu ameshawahi au hua ananunua nyama Buchani au sehemu nyingine yoyote kwa ajili ya matumizi ya kula.

Lakini kuna sehemu au Bucha ambazo nyama hufuatwa na nzi japokua bucha ni safi tu. Utaona tu kua muuza bucha anafukuza nzi mara kwa mara.

Vilevile, kwenye bucha nyingi za kisasa pamoja na supermarkets, hua wananyama ambazo zinavutia sana machoni na ni safi, lakini hamna hata nzi mmoja anatua kwenye nyama hiyo, na hata akitua, basi hatathubutu kurudi tena. Je ni kwanini?

Je, ununue Nyama Ipi?

Kabla ya yote, USINUNUE NYAMA SUPERMARKET AU KWENYE BUCHA AMBAYO HAMNA NZI ANAYESOGEA.

Ni kwa nini?

Nyama hizi hutunzwa kwa kutumia Dutu (substance) hatarishi ijulikanayo kwa jina la Sodium Metabisulfite 

Japokua taasisi nyingi duniani husema ya kwamba ni salama. Lakini jiulize... Je, ni salama kweli? kama wadudu kama nzi wanaikimbia, Je inafaa kwa matumizi ya mwanadamu?

Mara nyingi wanyama au wadudu hua wanauwezo wa kutambua kitu ambacho hakifai kwa matumizi, ndio maana hunusa kwanza, wakiona hakifai basi hawali. 

Nyama inatakiwa itumike ikiwa fresh, Sio ambayo inaweza kukaa wiki nzima au zaidi bila kuharibika.

Hivyo ni bora ununue nyama katika bucha za kawaida ili kupata nyama fresh. Au ukiweza zaidi nunua sehemu ya machinjio ili kujihakikishia uhakika wa kupata nyama fresh.

Reference:

Amerix
NTV Kenya

Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77

Hormonal Imbalance, Visababishi na Tiba yake

  Hormonal Imbalance HORMONAL IMBALANCE    Hormonal imbalance ama kwa Kiswahili ni mvurugiko wa kichochezi (hormone). Mara nyingi huwakumba wanawake Zaidi, ingawa hata wanaume wanaweza kua na tatizo hili. na kusababisha kiwango kidogo sana au kikubwa sana cha hormone au kichochezi chochote kutokukaa sawa.  NINI HUSABABISHA HORMONAL IMBALANCE  1️⃣Ulaji Mbovu wa chakula 2️⃣Unene (uzito uliopitiliza) 3️⃣Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango.  4️⃣Stress na msongo wa mawazo 5️⃣kisukari 6️⃣Hyperglycemia (uzalishwaji wa kuzidi wa glucagon) 7️⃣Hypoglycemia (insulin kuzalishwa nyingi kuliko glucose kwenye damu) 8️⃣Saratani pamoja na vimbe kwenye via vya kizazi.  DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE  1️⃣Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa 2️⃣Kutokushika mimba (infertility) 3️⃣Kutokua na uwezo wa kusimamisha uume 4️⃣Mbegu za uzazi kuwa chache (low sperm count) 5️⃣Uke kua mkavu (vaginal dryness) 6️⃣Kubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi au maumivu makali 7️⃣Kutokupata usingizi vizuri 8️⃣Kuongezeka uzito

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1️⃣Historia ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2️⃣Kupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3️⃣Unene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4️⃣Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu au kutokufanya mazoezi. (sed