Skip to main content

Kati ya Nyama Inayofuatwa na Nzi, Au Isiyofuatwa na Nzi, Ununue Ipi?

 

Nyama Inayofuatwa na Nzi Au Isiyofuatwa na Nzi. Ununue Ipi?

karibia kila mtu ameshawahi au hua ananunua nyama Buchani au sehemu nyingine yoyote kwa ajili ya matumizi ya kula.

Lakini kuna sehemu au Bucha ambazo nyama hufuatwa na nzi japokua bucha ni safi tu. Utaona tu kua muuza bucha anafukuza nzi mara kwa mara.

Vilevile, kwenye bucha nyingi za kisasa pamoja na supermarkets, hua wananyama ambazo zinavutia sana machoni na ni safi, lakini hamna hata nzi mmoja anatua kwenye nyama hiyo, na hata akitua, basi hatathubutu kurudi tena. Je ni kwanini?

Je, ununue Nyama Ipi?

Kabla ya yote, USINUNUE NYAMA SUPERMARKET AU KWENYE BUCHA AMBAYO HAMNA NZI ANAYESOGEA.

Ni kwa nini?

Nyama hizi hutunzwa kwa kutumia Dutu (substance) hatarishi ijulikanayo kwa jina la Sodium Metabisulfite 

Japokua taasisi nyingi duniani husema ya kwamba ni salama. Lakini jiulize... Je, ni salama kweli? kama wadudu kama nzi wanaikimbia, Je inafaa kwa matumizi ya mwanadamu?

Mara nyingi wanyama au wadudu hua wanauwezo wa kutambua kitu ambacho hakifai kwa matumizi, ndio maana hunusa kwanza, wakiona hakifai basi hawali. 

Nyama inatakiwa itumike ikiwa fresh, Sio ambayo inaweza kukaa wiki nzima au zaidi bila kuharibika.

Hivyo ni bora ununue nyama katika bucha za kawaida ili kupata nyama fresh. Au ukiweza zaidi nunua sehemu ya machinjio ili kujihakikishia uhakika wa kupata nyama fresh.

Reference:

Amerix
NTV Kenya

Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77 ...

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   ๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1๏ธโƒฃHistoria ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2๏ธโƒฃKupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3๏ธโƒฃUnene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4๏ธโƒฃKu...

CALORIE ZA VYAKULA VYA TANZANIA

 CALORIES ZA VYAKULA TANZANIA   NINI MAANA YA CALORIE?    Calorie ni kiasi cha nishati kinachohitajika ili kuongeza joto la gramu moja ya maji (ยฐC). Kwa lugha nyepesi, calorie katika chakula hutoa nishati (energy) kwa njia ya joto ili miili yetu iweze kufanya kazi. Hii ni kwa sababu miili yetu huhifadhi na kuchoma calorie kama mafuta.  UHUSIANO WA CALORIE NA UZITO WA MWILI.  Kwa kawaida, kila chakula kina kiwango chake cha calorie. Hivyo unapokula chakula, unaingiza mwilini calorie kadhaa, na mwili wako pia unatumia calorie katika kuweka uhai. Lakini unapokula chakula, unaingiza calorie mwilini. Na mwili wako pia unatumia calorie kama nishati. Hivyo unapokula calorie nyingi kuliko mwili unavyoweza kutumia, zinahifadhiwa kama mafuta na utaongezeka uzito. Unapotumia calorie nyingi kuliko unavyoingiza mwilini, unapungua uzito. Na ukitumia kiasi sawa na unachoingiza, basi unabaki na uzito ule ule.   MWANADAMU ANAHITAJI WASTANI WA CALORIE NGAPI? ...