Skip to main content

JINSI YA KUTUMIA DIET WAKATI WA MFUNGO

 

Mfungo wa chakula

JINSI YA KUFANYA DIET KAMA UPO KWENYE MFUNGO.

Zipo sababu nyingi sana ambazo hufanya watu wafunge kula. Kuna sababu za Kiimani (kwaresma, Ramadan au kua na mfungo wa maombi maalum), kuna wale ambao hufunga kwa sababu nyingine lakini kuu zikiwa ni za kiimani.

Sasa watu wengi hudhania ya kwamba kama wanafanya diet basi kuna ratiba maalum kwa ajili ya msimu wa Mfungo mfano Ramadan, Kwaresma au nyinginezo.

Lakini hamna jambo llolote linalobadilika wakati wa mfungo huo zaidi tu ya kubadilika kwa muda wa kula.

JINSI YA KULA AU RATIBA YA KUTUMIA

Kama unafwata Diet yoyote ile, basi bila shaka kuna vyakula hua unatumia kwa ajili ya kukusaidia kuweza kupungua.

Kama umefunga. (wengi hufunga mchana na kufungua jioni), hamna kinachobadilika zaidi tu ya muda wa kula. 

Angalia ratiba yako kwa siku usika unakula nini, Basi kile cha asubuhi unaweza Kukitumia Kama daku (kwa wale wa Ramadan), na kisha jioni wakati wa kufungua, kilichopo kwenye ratiba yako ya usiku ndio ukatumia kama Ftari au kufungua.

Lakini sio lazima utumie kilichopo kwenye ratiba ya siku hiyo, kikubwa ni Kutumia vitu ambavyo vipo kwenye mwongozo wa Diet yako. Hivyo chochote kile ambacho kipo kwenye mwongozo unaweza kutumia bila shida yoyote ile. 

Hamna kinachobadilika, bali tu muda wa kula ndio ambao unabadilika. 

Kwa msaada zaidi

Simu: +255753068572
Whatsapp +255621068072
Instagram @fitbywayne



Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77 ...

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   ๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1๏ธโƒฃHistoria ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2๏ธโƒฃKupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3๏ธโƒฃUnene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4๏ธโƒฃKu...

CALORIE ZA VYAKULA VYA TANZANIA

 CALORIES ZA VYAKULA TANZANIA   NINI MAANA YA CALORIE?    Calorie ni kiasi cha nishati kinachohitajika ili kuongeza joto la gramu moja ya maji (ยฐC). Kwa lugha nyepesi, calorie katika chakula hutoa nishati (energy) kwa njia ya joto ili miili yetu iweze kufanya kazi. Hii ni kwa sababu miili yetu huhifadhi na kuchoma calorie kama mafuta.  UHUSIANO WA CALORIE NA UZITO WA MWILI.  Kwa kawaida, kila chakula kina kiwango chake cha calorie. Hivyo unapokula chakula, unaingiza mwilini calorie kadhaa, na mwili wako pia unatumia calorie katika kuweka uhai. Lakini unapokula chakula, unaingiza calorie mwilini. Na mwili wako pia unatumia calorie kama nishati. Hivyo unapokula calorie nyingi kuliko mwili unavyoweza kutumia, zinahifadhiwa kama mafuta na utaongezeka uzito. Unapotumia calorie nyingi kuliko unavyoingiza mwilini, unapungua uzito. Na ukitumia kiasi sawa na unachoingiza, basi unabaki na uzito ule ule.   MWANADAMU ANAHITAJI WASTANI WA CALORIE NGAPI? ...