NJIA ZA ASILI ZA KUTATUA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.
Hapo zamani, ilizoeleka wazee tu ndio wanakua na shida kwenye nguvu za kiume, na ni kwa sababu ya magonjwa ya moyo, kisukari pamoja na kuzeeka ambapo hufanya mwili kudhoofika na kushindwa kwa baadhi ya mambo.
lakini siku za hivi karibuni, hata vijana wadogo kabisa ambao hawajafika miaka 30 huathiriwa na ukosefu wa nguvu za kiume, na hii ni kutokana na sababu mbalimbali, ulaji mbovu na mtindo wa maisha vikiwa vinachangia kwa kiasi kikubwa.
VISABABISHI VYA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.
- Upigaji wa Punyeto kwa muda mrefu: vijana wengi hutumia mikono yao ambayo kwa kawaida ina ngozi ngumu kuliko uke wa mwanamke, hivyo hufanya mishipa ya uume kulegea, pia kisaikolojia huwezi kupiga punyeto bila kuvuta picha ya mwanamke flani kichwani.
- Magonjwa ya moyo
- Uzito Uliozidi (Obesity)
- Kisukari
- Uvutaji wa sigara na dawa za kulevya
- Shinikizo la juu la damu (High blood pressure)
- Utumiaji wa pombe kupita kiasi
- Sonona na msongo wa mawazo
- Kuumia/ kupata ajali inayoathiri maeneo ya uzazi
- Upungufu wa homoni ya testosterone
- na sababu nyinginezo
NJIA ZA KUTATUA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME
- Shughulisha mwili kwa kufanya mazoezi: itakusaidia kua na stamina, mzunguko wa damu kua vizuri hadi kwenye mishipa midogo midogo.
- Zingatia mlo mzuri
- Jitahidi kuepukana na msongo wa mawazo
- Epuka kutumia sigara na pombe kabisa.
- pata msaada zaidi kwa daktari inapobidi.
FWATA MFUMO HUU WA KULA ILI KUIMARIKA.
- kila asubuhi, jitahidi kunywa chai yenye tangawizi (ikiwezekana usiweke sukari) pamoja na muhogo, gimbi au viazi vitamu. (ila usitumie vya kukaanga)
- mchana unaweza kutumia Ugali wa Dona au wa Mtama (wa sembe sio mzuri sana), na usikose kutumia mboga za majani. (ila usitumie chainizi). kama inawezekana, mboga iwe imeungwa kwa karanga au nazi (ikiwa inawezekana). Shushia na ndizi mbivu kama tunda au tikiti maji (tafuna na zile mbegu zake, ninashangaa sana mwanaume unapokula tikiti na kutema zile mbegu)
- Jioni kula chakula chako chochote (jitahidi usitumie vyakula vilivyokobolewa) pamoja na ndizi mbivu kama tunda lako au tikiti maji na utafune na mbegu zake.
- kila siku mchana unaweza ukatafuna karanga kama utazipata, na glass ya mtindi muda ambao unakua umetulia. (mtindi usitumie ule uliowekwa sukari.)
Ikiwa Utapenda kupata Dawa ya Asili kwa ajili ya changamoto ya Nguvu za kiume, tafadhali bonyeza HAPA
Imeandikwa na:
SAMUEL MACHA
FIT BY WAYNE
Contacts:
mobile: 0753068572
whatsapp: WHATSAPP

Comments
Post a Comment