![]() |
Hormonal Imbalance |
HORMONAL IMBALANCE
Hormonal imbalance ama kwa Kiswahili ni mvurugiko wa kichochezi (hormone). Mara nyingi huwakumba wanawake Zaidi, ingawa hata wanaume wanaweza kua na tatizo hili. na kusababisha kiwango kidogo sana au kikubwa sana cha hormone au kichochezi chochote kutokukaa sawa.
NINI HUSABABISHA HORMONAL IMBALANCE
1๏ธโฃUlaji Mbovu wa chakula
2๏ธโฃUnene (uzito uliopitiliza)
3๏ธโฃMatumizi ya dawa za uzazi wa mpango.
4๏ธโฃStress na msongo wa mawazo
5๏ธโฃkisukari
6๏ธโฃHyperglycemia (uzalishwaji wa kuzidi wa glucagon)
7๏ธโฃHypoglycemia (insulin kuzalishwa nyingi kuliko glucose kwenye damu)
8๏ธโฃSaratani pamoja na vimbe kwenye via vya kizazi.
DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE
1๏ธโฃKupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
2๏ธโฃKutokushika mimba (infertility)
3๏ธโฃKutokua na uwezo wa kusimamisha uume
4๏ธโฃMbegu za uzazi kuwa chache (low sperm count)
5๏ธโฃUke kua mkavu (vaginal dryness)
6๏ธโฃKubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi au maumivu makali
7๏ธโฃKutokupata usingizi vizuri
8๏ธโฃKuongezeka uzito
9๏ธโฃKupata choo kwa shida au kuharisha
1๏ธโฃ0๏ธโฃKutokua sawa kwa mapigo ya moyo
1๏ธโฃ1๏ธโฃMaumivu wakati wa tendo la ndoa
1๏ธโฃ2๏ธโฃKichwa kuuma mara kwa mara
1๏ธโฃ3๏ธโฃKuumwa mafua mara kwa mara
1๏ธโฃ4๏ธโฃKupoteza kumbukumbu
1๏ธโฃ5๏ธโฃUchovu wa mara kwa mara
1๏ธโฃ6๏ธโฃNgozi kua kavu sana
1๏ธโฃ7๏ธโฃMaumivu ya mifupa na viungo
1๏ธโฃ8๏ธโฃKujisikia joto ghafla wakati wa usiku
1๏ธโฃ9๏ธโฃKuvimba kwa kinena (clitoral enlargement)
2๏ธโฃ0๏ธโฃChunusi wakati wa hedhi au kabla ya hedhi
NJIA ZA KAWAIDA ZA KUWEKA SAWA KIWANGO CHA HORMONE.
1๏ธโฃJitahidi kula protini katika kila mlo
2๏ธโฃFanya mazoezi ya kutosha. (mazoezi husaidia kuleta insulin sensitivity nzuri)
3๏ธโฃPunguza matumizi ya sukari na vyakula vya kiwandani
4๏ธโฃJifunze sana kutokua na stress
5๏ธโฃTumia mafuta mazuri kama vile omega 3 (mafuta ya samaki)
6๏ธโฃUsile kupita kiasi na usikae na njaa muda mrefu.
7๏ธโฃPendelea sana kutumia green tea. (zina kiwango kikubwa cha antioxidants ijulikanayo kama EGCG)
8๏ธโฃPata usingizi wa kutosha. (usingizi hafifu husababisha mvurugiko wa hormone ya insulin, cortisol, leptin, pamoja na growth hormone.
9๏ธโฃEpuka sana kutumia vyakula vya sukari
1๏ธโฃ0๏ธโฃPendelea kutumia vyakula vyenye nyuzi nyuzi kwa wingi
1๏ธโฃ1๏ธโฃPendelea kutumia mayai. (yana mafuta mazuri)
VYAKULA VINAVYOSAIDIA KUWEKA SAWA KIWANGO CHA HORMONES
๐ PARACHICHI : tunda hili lina mafuta mazuri na lina kawaida ya kubalance hormone ya cortisol ambayo inahusika sana na mzunguko wa hedhi. Pia lina beta sitosterol ambayo inasaidia kuweka kiwango cha lehemu sawa kwenye mishipa ya damu.
๐ FLAX SEED (MBEGU ZA KATANI) : zina phytoestrogens, omega 3, fibers pamoja na anti-oxidants.
๐ BROCCOLI, KABICHI NA CAULIFLOWER: hizi ni mboga za jamii ya kabichi, zina kiwango kikubwa cha madini ya calcium na zina balance kiwango cha estrogen.
๐ KOMAMANGA : hili tunda lina sifa ya kua na anti-oxidants kwa kiwango cha juu sana na huweka sawa kiwango cha estrogen.
๐ OMEGA 3 (SALMON FISH): haya ni mafuta mazuri ambayo yanasaidia kuweka sawa kiwango cha horomones kwenye damu. Angalau utumie mara 2 kwa wiki.
๐ MBOGA ZA MAJANI: nzuri sana kwa ku balance hormones kwani yana madini ya kutosha.
๐ MBEGU KAMA MLOZI (ALMOND): zina effect kubwa sana kwenye mfumo mzima wa hormones. (endocrine system)
๐ SOYA : inasaidia kuweka sawa kiwango cha estrogen.
๐ MANJANO/BINZARI (TURMERIC): inasaidia kubalance hormone ya estrogen na ina tabia ya uponyaji kwa sababu ina curcumin.
Hizi nilizotaja ni njia tu za asili ambazo zinasaidia kuweka sawa hormones. Hivyo nashauri kuonana na wataalam wa afya kwa ushauri Zaidi.
Vipo virutubisho (tiba lishe) ambavyo vinasaidia sana kuweka sawa kiwango cha hormone. Na vimewasaidia wengi. Hivyo kama ukipenda kuvipata, wasiliana na mimi kwa namba 0621068072 .
Au bonyeza hapa๐
NB: Bonyeza link tu kama unahitaji Tiba ya hormonal Imbalance
kwa msaada zaidi
whatsapp 0621068072
mobile 0753068572
Comments
Post a Comment