Skip to main content

Hormonal Imbalance, Visababishi na Tiba yake

 

Hormonal Imbalance



HORMONAL IMBALANCE 


 Hormonal imbalance ama kwa Kiswahili ni mvurugiko wa kichochezi (hormone). Mara nyingi huwakumba wanawake Zaidi, ingawa hata wanaume wanaweza kua na tatizo hili. na kusababisha kiwango kidogo sana au kikubwa sana cha hormone au kichochezi chochote kutokukaa sawa.


 NINI HUSABABISHA HORMONAL IMBALANCE 


1️⃣Ulaji Mbovu wa chakula

2️⃣Unene (uzito uliopitiliza)

3️⃣Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango. 

4️⃣Stress na msongo wa mawazo

5️⃣kisukari

6️⃣Hyperglycemia (uzalishwaji wa kuzidi wa glucagon)

7️⃣Hypoglycemia (insulin kuzalishwa nyingi kuliko glucose kwenye damu)

8️⃣Saratani pamoja na vimbe kwenye via vya kizazi.


 DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE 


1️⃣Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa


2️⃣Kutokushika mimba (infertility)

3️⃣Kutokua na uwezo wa kusimamisha uume


4️⃣Mbegu za uzazi kuwa chache (low sperm count)


5️⃣Uke kua mkavu (vaginal dryness)

6️⃣Kubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi au maumivu makali


7️⃣Kutokupata usingizi vizuri

8️⃣Kuongezeka uzito

9️⃣Kupata choo kwa shida au kuharisha

1️⃣0️⃣Kutokua sawa kwa mapigo ya moyo


1️⃣1️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa

1️⃣2️⃣Kichwa kuuma mara kwa mara

1️⃣3️⃣Kuumwa mafua mara kwa mara

1️⃣4️⃣Kupoteza kumbukumbu

1️⃣5️⃣Uchovu wa mara kwa mara

1️⃣6️⃣Ngozi kua kavu sana

1️⃣7️⃣Maumivu ya mifupa na viungo

1️⃣8️⃣Kujisikia joto ghafla wakati wa usiku

1️⃣9️⃣Kuvimba kwa kinena (clitoral enlargement)

2️⃣0️⃣Chunusi wakati wa hedhi au kabla ya hedhi


 NJIA ZA KAWAIDA ZA KUWEKA SAWA KIWANGO CHA HORMONE. 


1️⃣Jitahidi kula protini katika kila mlo


2️⃣Fanya mazoezi ya kutosha. (mazoezi husaidia kuleta insulin sensitivity nzuri)


3️⃣Punguza matumizi ya sukari na vyakula vya kiwandani


4️⃣Jifunze sana kutokua na stress


5️⃣Tumia mafuta mazuri kama vile omega 3 (mafuta ya samaki)


6️⃣Usile kupita kiasi na usikae na njaa muda mrefu.


7️⃣Pendelea sana kutumia green tea. (zina kiwango kikubwa cha antioxidants ijulikanayo kama EGCG)


8️⃣Pata usingizi wa kutosha. (usingizi hafifu husababisha mvurugiko wa hormone ya insulin, cortisol, leptin, pamoja na growth hormone.


9️⃣Epuka sana kutumia vyakula vya sukari


1️⃣0️⃣Pendelea kutumia vyakula vyenye nyuzi nyuzi kwa wingi


1️⃣1️⃣Pendelea kutumia mayai. (yana mafuta mazuri)


 VYAKULA VINAVYOSAIDIA KUWEKA SAWA KIWANGO CHA HORMONES 


🍎 PARACHICHI : tunda hili lina mafuta mazuri na lina kawaida ya kubalance hormone ya cortisol ambayo inahusika sana na mzunguko wa hedhi. Pia lina beta sitosterol ambayo inasaidia kuweka kiwango cha lehemu sawa kwenye mishipa ya damu.


🍎 FLAX SEED (MBEGU ZA KATANI) : zina phytoestrogens, omega 3, fibers pamoja na anti-oxidants.


🍎 BROCCOLI, KABICHI NA CAULIFLOWER: hizi ni mboga za jamii ya kabichi, zina kiwango kikubwa cha madini ya calcium na zina balance kiwango cha estrogen.


🍎 KOMAMANGA : hili tunda lina sifa ya kua na anti-oxidants kwa kiwango cha juu sana na huweka sawa kiwango cha estrogen.


🍎 OMEGA 3 (SALMON FISH): haya ni mafuta mazuri ambayo yanasaidia kuweka sawa kiwango cha horomones kwenye damu. Angalau utumie mara 2 kwa wiki.


🍎 MBOGA ZA MAJANI: nzuri sana kwa ku balance hormones kwani yana madini ya kutosha.


🍎 MBEGU KAMA MLOZI (ALMOND): zina effect kubwa sana kwenye mfumo mzima wa hormones. (endocrine system)


🍎 SOYA : inasaidia kuweka sawa kiwango cha estrogen.


🍎 MANJANO/BINZARI (TURMERIC): inasaidia kubalance hormone ya estrogen na ina tabia ya uponyaji kwa sababu ina curcumin.


Hizi nilizotaja ni njia tu za asili ambazo zinasaidia kuweka sawa hormones. Hivyo nashauri kuonana na wataalam wa afya kwa ushauri Zaidi.


Vipo virutubisho (tiba lishe) ambavyo vinasaidia sana kuweka sawa kiwango cha hormone. Na vimewasaidia wengi. Hivyo kama ukipenda kuvipata, wasiliana na mimi kwa namba 0621068072 .

Au bonyeza hapaπŸ‘‡


https://tinyurl.com/ybyxgmhl


NB: Bonyeza link tu kama unahitaji Tiba ya hormonal Imbalance

kwa msaada zaidi

whatsapp 0621068072

mobile 0753068572

Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   πŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’ŠπŸ’Š   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1️⃣Historia ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2️⃣Kupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3️⃣Unene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4️⃣Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu au kutokufanya mazoezi. (sed