Skip to main content

Hormonal Imbalance, Visababishi na Tiba yake

 

Hormonal Imbalance



HORMONAL IMBALANCE 


 Hormonal imbalance ama kwa Kiswahili ni mvurugiko wa kichochezi (hormone). Mara nyingi huwakumba wanawake Zaidi, ingawa hata wanaume wanaweza kua na tatizo hili. na kusababisha kiwango kidogo sana au kikubwa sana cha hormone au kichochezi chochote kutokukaa sawa.


 NINI HUSABABISHA HORMONAL IMBALANCE 


1๏ธโƒฃUlaji Mbovu wa chakula

2๏ธโƒฃUnene (uzito uliopitiliza)

3๏ธโƒฃMatumizi ya dawa za uzazi wa mpango. 

4๏ธโƒฃStress na msongo wa mawazo

5๏ธโƒฃkisukari

6๏ธโƒฃHyperglycemia (uzalishwaji wa kuzidi wa glucagon)

7๏ธโƒฃHypoglycemia (insulin kuzalishwa nyingi kuliko glucose kwenye damu)

8๏ธโƒฃSaratani pamoja na vimbe kwenye via vya kizazi.


 DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE 


1๏ธโƒฃKupungua kwa hamu ya tendo la ndoa


2๏ธโƒฃKutokushika mimba (infertility)

3๏ธโƒฃKutokua na uwezo wa kusimamisha uume


4๏ธโƒฃMbegu za uzazi kuwa chache (low sperm count)


5๏ธโƒฃUke kua mkavu (vaginal dryness)

6๏ธโƒฃKubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi au maumivu makali


7๏ธโƒฃKutokupata usingizi vizuri

8๏ธโƒฃKuongezeka uzito

9๏ธโƒฃKupata choo kwa shida au kuharisha

1๏ธโƒฃ0๏ธโƒฃKutokua sawa kwa mapigo ya moyo


1๏ธโƒฃ1๏ธโƒฃMaumivu wakati wa tendo la ndoa

1๏ธโƒฃ2๏ธโƒฃKichwa kuuma mara kwa mara

1๏ธโƒฃ3๏ธโƒฃKuumwa mafua mara kwa mara

1๏ธโƒฃ4๏ธโƒฃKupoteza kumbukumbu

1๏ธโƒฃ5๏ธโƒฃUchovu wa mara kwa mara

1๏ธโƒฃ6๏ธโƒฃNgozi kua kavu sana

1๏ธโƒฃ7๏ธโƒฃMaumivu ya mifupa na viungo

1๏ธโƒฃ8๏ธโƒฃKujisikia joto ghafla wakati wa usiku

1๏ธโƒฃ9๏ธโƒฃKuvimba kwa kinena (clitoral enlargement)

2๏ธโƒฃ0๏ธโƒฃChunusi wakati wa hedhi au kabla ya hedhi


 NJIA ZA KAWAIDA ZA KUWEKA SAWA KIWANGO CHA HORMONE. 


1๏ธโƒฃJitahidi kula protini katika kila mlo


2๏ธโƒฃFanya mazoezi ya kutosha. (mazoezi husaidia kuleta insulin sensitivity nzuri)


3๏ธโƒฃPunguza matumizi ya sukari na vyakula vya kiwandani


4๏ธโƒฃJifunze sana kutokua na stress


5๏ธโƒฃTumia mafuta mazuri kama vile omega 3 (mafuta ya samaki)


6๏ธโƒฃUsile kupita kiasi na usikae na njaa muda mrefu.


7๏ธโƒฃPendelea sana kutumia green tea. (zina kiwango kikubwa cha antioxidants ijulikanayo kama EGCG)


8๏ธโƒฃPata usingizi wa kutosha. (usingizi hafifu husababisha mvurugiko wa hormone ya insulin, cortisol, leptin, pamoja na growth hormone.


9๏ธโƒฃEpuka sana kutumia vyakula vya sukari


1๏ธโƒฃ0๏ธโƒฃPendelea kutumia vyakula vyenye nyuzi nyuzi kwa wingi


1๏ธโƒฃ1๏ธโƒฃPendelea kutumia mayai. (yana mafuta mazuri)


 VYAKULA VINAVYOSAIDIA KUWEKA SAWA KIWANGO CHA HORMONES 


๐ŸŽ PARACHICHI : tunda hili lina mafuta mazuri na lina kawaida ya kubalance hormone ya cortisol ambayo inahusika sana na mzunguko wa hedhi. Pia lina beta sitosterol ambayo inasaidia kuweka kiwango cha lehemu sawa kwenye mishipa ya damu.


๐ŸŽ FLAX SEED (MBEGU ZA KATANI) : zina phytoestrogens, omega 3, fibers pamoja na anti-oxidants.


๐ŸŽ BROCCOLI, KABICHI NA CAULIFLOWER: hizi ni mboga za jamii ya kabichi, zina kiwango kikubwa cha madini ya calcium na zina balance kiwango cha estrogen.


๐ŸŽ KOMAMANGA : hili tunda lina sifa ya kua na anti-oxidants kwa kiwango cha juu sana na huweka sawa kiwango cha estrogen.


๐ŸŽ OMEGA 3 (SALMON FISH): haya ni mafuta mazuri ambayo yanasaidia kuweka sawa kiwango cha horomones kwenye damu. Angalau utumie mara 2 kwa wiki.


๐ŸŽ MBOGA ZA MAJANI: nzuri sana kwa ku balance hormones kwani yana madini ya kutosha.


๐ŸŽ MBEGU KAMA MLOZI (ALMOND): zina effect kubwa sana kwenye mfumo mzima wa hormones. (endocrine system)


๐ŸŽ SOYA : inasaidia kuweka sawa kiwango cha estrogen.


๐ŸŽ MANJANO/BINZARI (TURMERIC): inasaidia kubalance hormone ya estrogen na ina tabia ya uponyaji kwa sababu ina curcumin.


Hizi nilizotaja ni njia tu za asili ambazo zinasaidia kuweka sawa hormones. Hivyo nashauri kuonana na wataalam wa afya kwa ushauri Zaidi.


Vipo virutubisho (tiba lishe) ambavyo vinasaidia sana kuweka sawa kiwango cha hormone. Na vimewasaidia wengi. Hivyo kama ukipenda kuvipata, wasiliana na mimi kwa namba 0621068072 .

Au bonyeza hapa๐Ÿ‘‡


https://tinyurl.com/ybyxgmhl


NB: Bonyeza link tu kama unahitaji Tiba ya hormonal Imbalance

kwa msaada zaidi

whatsapp 0621068072

mobile 0753068572

Comments

Popular posts from this blog

DETOX YA SIKU 7. HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE

  HATUA YA KWANZA KUPUNGUZA UNENE. Uzito Unaotakiwa kua nao Kulingana na Urefu Pamoja na Jinsia UREFU (CM) UREFU (FT & INCH) UZITO (KG)       MWANAUME MWANAMKE 147 4' 10" - 45-59 150 4' 11" - 45-60 152 5' 0" - 46-62 155 5' 1" 55-66 47-63 157 5' 2" 56-67 49-65 160 5' 3" 57-68 50-67 162 5' 4" 58-70 51-69 165 5' 5" 59-72 53-70 167 5' 6" 60-74 54-72 170 5' 7" 61-75 55-74 172 5' 8" 62-77 ...

BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI

 BAWASIRI NA JINSI YA KUITIBU KWA NJIA ZA ASILI.   ๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š   BAWASIRI NI NINI?   Bawasiri (kikundu, future, puru au mjiko ) ni hali ya kutuna kwa mishipa ya damu katika mfereji wa sehemu ya haja kubwa (anus). Kuna aina mbili za Bawasiri;   1. Bawasiri za ndani ( internal haemorroids )   2. Bawasiri za nje ( external haemorroids )  Bawasiri za ndani hua na dalili ya kupata kinyesi kilichokua na damu,  bawasiri za nje hua na dalili ya maumivu makali wakati wa kujisaidia pamoja na kinyama kutoka kwa nje.  NINI VISABABISHI VYA BAWASIRI?   1๏ธโƒฃHistoria ya familia, mara nyingi baadhi ya familia hukumbwa na changamoto hii. Na hua watu wa familia hiyo husika wanakua na hili tatizo. 2๏ธโƒฃKupata choo kigumu mara kwa mara husababisha mtu kutumia nguvu nyingi (straining) ambayo husababisha bawasiri kutokea. 3๏ธโƒฃUnene (uzito uliopitiliza) hua ni kisababishi cha bawasiri kwa sababu ya kuongezeka kwa Rectal Vein Pressure. 4๏ธโƒฃKu...

CALORIE ZA VYAKULA VYA TANZANIA

 CALORIES ZA VYAKULA TANZANIA   NINI MAANA YA CALORIE?    Calorie ni kiasi cha nishati kinachohitajika ili kuongeza joto la gramu moja ya maji (ยฐC). Kwa lugha nyepesi, calorie katika chakula hutoa nishati (energy) kwa njia ya joto ili miili yetu iweze kufanya kazi. Hii ni kwa sababu miili yetu huhifadhi na kuchoma calorie kama mafuta.  UHUSIANO WA CALORIE NA UZITO WA MWILI.  Kwa kawaida, kila chakula kina kiwango chake cha calorie. Hivyo unapokula chakula, unaingiza mwilini calorie kadhaa, na mwili wako pia unatumia calorie katika kuweka uhai. Lakini unapokula chakula, unaingiza calorie mwilini. Na mwili wako pia unatumia calorie kama nishati. Hivyo unapokula calorie nyingi kuliko mwili unavyoweza kutumia, zinahifadhiwa kama mafuta na utaongezeka uzito. Unapotumia calorie nyingi kuliko unavyoingiza mwilini, unapungua uzito. Na ukitumia kiasi sawa na unachoingiza, basi unabaki na uzito ule ule.   MWANADAMU ANAHITAJI WASTANI WA CALORIE NGAPI? ...